Name:

Email:

Kamusi ya Karne ya 21

Kamusi inayoakisi Maendeleo na Masuala Ibuka ya lugha ya Kiswahili

  • Vidahizo vipatavyo 42,000.
  • Uanishaji wa ngeli,mifano na matumizi.
  • Usarufi wa maneno kupitia vitengo na kategoria zake.
  • Virejeleo vya taaluma za Kemia, Fizikia,Hisabati,Biologia na Jiografia.
  • Michoro kabambe ya kuvutia,yenye maelezo,uwazi na usahili.
  • Matumizi ya methali, maana za misemo,nahau na tashbihi.
  • Ubainisho wa rangi,miti,matunda,mawingu,sayari,mataifa na utaifa.
  • Mwainisho wa visawe,vitawe,vitate,viumbe na vikembe vyao.
  • Kamusi yenye uketo zaidi kuwahi kuchapishwa duniani.